184- Nilimuuliza baba yangu juu ya mtu ambaye amefanya Tayammum na akaanza kuswali na punde tu baada ya hapo akaona maji. Akajibu:
“Sijawahi kusikia kitu kama hicho, lakini khabari iliyonifikia ni kwamba Anas bin Maalik anaonelea kwamba aendelee na swalah yake.”
- Muhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/139-140)
- Imechapishwa: 26/03/2021
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)