184- Nilimuuliza baba yangu juu ya mtu ambaye amefanya Tayammum na akaanza kuswali na punde tu baada ya hapo akaona maji. Akajibu:
“Sijawahi kusikia kitu kama hicho, lakini khabari iliyonifikia ni kwamba Anas bin Maalik anaonelea kwamba aendelee na swalah yake.”
- Muhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/139-140)
- Imechapishwa: 26/03/2021
184- Nilimuuliza baba yangu juu ya mtu ambaye amefanya Tayammum na akaanza kuswali na punde tu baada ya hapo akaona maji. Akajibu:
“Sijawahi kusikia kitu kama hicho, lakini khabari iliyonifikia ni kwamba Anas bin Maalik anaonelea kwamba aendelee na swalah yake.”
Muhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/139-140)
Imechapishwa: 26/03/2021
https://firqatunnajia.com/ameona-maji-baada-ya-kuanza-kuswali/