Swali: Mwanaume alimuoa mwanamke ambaye anajua kuwa ana mimba inayotokamana na maji ya uzinzi.
Jibu: Hukumu ya mwanamke ni kupigwa mawe kwa kuzingatia kwamba uzinzi wake umethibiti akiwa tayari ameshaingia ndani ya ndo (ath-Thayyib). Mwanaume anapaswa kuadhibiwa na kunyimwa mahari kwa kumjamii mwanamke kwa kule kufunga naye ndoa ilihali anatambua kuwa ana ujauzito wa zinaa.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahiym Aalush-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 319
- Imechapishwa: 03/08/2019
Swali: Mwanaume alimuoa mwanamke ambaye anajua kuwa ana mimba inayotokamana na maji ya uzinzi.
Jibu: Hukumu ya mwanamke ni kupigwa mawe kwa kuzingatia kwamba uzinzi wake umethibiti akiwa tayari ameshaingia ndani ya ndo (ath-Thayyib). Mwanaume anapaswa kuadhibiwa na kunyimwa mahari kwa kumjamii mwanamke kwa kule kufunga naye ndoa ilihali anatambua kuwa ana ujauzito wa zinaa.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahiym Aalush-Shaykh
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 319
Imechapishwa: 03/08/2019
https://firqatunnajia.com/amemuoa-mwanamke-mwenye-mimba-ya-uzinzi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket