Swali: Mwanamume amemuahidi mke wake kwamba hatoongeza mke juu yake. Lakini baada ya muda fulani akahitajia kuongeza mke. Je, inajuzu kwake kuoa na kwenda kinyume na ahadi yake?
Jibu: Aoe na atoe kafara kwa ajili ya kiapo chake. Atoe kafara kwa ajili ya kiapo chake na aoe.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (85) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17635
- Imechapishwa: 23/06/2018
Swali: Mwanamume amemuahidi mke wake kwamba hatoongeza mke juu yake. Lakini baada ya muda fulani akahitajia kuongeza mke. Je, inajuzu kwake kuoa na kwenda kinyume na ahadi yake?
Jibu: Aoe na atoe kafara kwa ajili ya kiapo chake. Atoe kafara kwa ajili ya kiapo chake na aoe.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (85) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17635
Imechapishwa: 23/06/2018
https://firqatunnajia.com/amemuahidi-mke-kwamba-hatoongeza-mwanamke-mwingine/