Swali: Kaka yangu anafanya kazi benki. Yeye ndiye anasimamia matumizi yangu na matumizi ya familia. Je, tukubali kile anachotupa na tukile?
Jibu: Ikiwa hamna namna ya kupata kingine, kuleni. Ikiwa mna namna ya kupata kingine, haijuzu kwenu kula katika matumizi yake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (85) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17635
- Imechapishwa: 23/06/2018
Swali: Kaka yangu anafanya kazi benki. Yeye ndiye anasimamia matumizi yangu na matumizi ya familia. Je, tukubali kile anachotupa na tukile?
Jibu: Ikiwa hamna namna ya kupata kingine, kuleni. Ikiwa mna namna ya kupata kingine, haijuzu kwenu kula katika matumizi yake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (85) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17635
Imechapishwa: 23/06/2018
https://firqatunnajia.com/msimamo-juu-ya-matumizi-ya-mfanyikazi-benki/