Swali: Kuna mtu amemtaliki mke wake na yuko ananyonyesha. Wakakaa pamoja baada ya kuachana mwaka mzima. Je, talaka hii ni sahihi au si sahihi?
Jibu: Baada ya kumtaliki anatakiwa kumwepuka. Amtaliki kabla ya kumwingilia. Akimtaliki baada ya kumwingilia, hiyo ni dhambi na haijuzu. Hivo ndivo alivosema Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema:
”Kisha mbakize mpaka atwahirike.”
Anatakiwa kumtaliki kabla hajamwingilia.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (18)
- Imechapishwa: 02/01/2021
Swali: Kuna mtu amemtaliki mke wake na yuko ananyonyesha. Wakakaa pamoja baada ya kuachana mwaka mzima. Je, talaka hii ni sahihi au si sahihi?
Jibu: Baada ya kumtaliki anatakiwa kumwepuka. Amtaliki kabla ya kumwingilia. Akimtaliki baada ya kumwingilia, hiyo ni dhambi na haijuzu. Hivo ndivo alivosema Ibn ´Umar (Radhiya Allaahu ´anhumaa) kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema:
”Kisha mbakize mpaka atwahirike.”
Anatakiwa kumtaliki kabla hajamwingilia.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (18)
Imechapishwa: 02/01/2021
https://firqatunnajia.com/amekaa-na-mke-mwaka-mzima-baada-ya-kumtaliki/