Swali: Punde tu baada ya ndoa mume amegundua kuwa mkewe ana kichaa kwa sababu ya ugonjwa wa akili unaomsumbua. Je, hilo linalazimu kufutwa kwa ndoa?
Jibu: Anayo haki ya kufanya hivo, ndio. Ikiwa amejua kuwa hilo limetokea wakati wa ndoa na akalijua baadaye, anayo haki ya kuivunja ndoa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (37)
- Imechapishwa: 27/07/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
