Swali: Akiswali mtu hali ya kuwa na janaba na hakujua jambo hilo isipokuwa baada ya kumaliza kuswali. Ni kipi kinachomlazimu?
Jibu: Ni lazima kwake kuoga na kuirudia tena swalah yake, kwa sababu swalah yake ya kwanza si sahihi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 05/07/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)