Swali: Akiswali mtu hali ya kuwa na janaba na hakujua jambo hilo isipokuwa baada ya kumaliza kuswali. Ni kipi kinachomlazimu?
Jibu: Ni lazima kwake kuoga na kuirudia tena swalah yake, kwa sababu swalah yake ya kwanza si sahihi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
- Imechapishwa: 05/07/2024
Swali: Akiswali mtu hali ya kuwa na janaba na hakujua jambo hilo isipokuwa baada ya kumaliza kuswali. Ni kipi kinachomlazimu?
Jibu: Ni lazima kwake kuoga na kuirudia tena swalah yake, kwa sababu swalah yake ya kwanza si sahihi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (42)
Imechapishwa: 05/07/2024
https://firqatunnajia.com/amegundua-kuwa-ameswali-akiwa-na-janaba/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
