Swali: Nimesafiri kabla ya swalah ya ijumaa na nilipokuwa katika safari yangu na huku watu wanaswali swalah ya ijumaa nikafika katika mji wangu. Nifanye nini?
Jibu: Ukifika katika makazi yako basi swali ijumaa pamoja nao.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/كم-المسافر-إذا-أدرك-الجمعة-في-مقر-إقامته
- Imechapishwa: 11/06/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)