Swali: Kuna mtu ameendesha kwenye taa nyekundu makusudi na kuwaua watembea kwa miguu kwa bahati mbaya. Je, anazingatiwa kuwa ameua kwa makusudi?
Jibu: Wataamua mahakama. Uhalifu huo upelekwe mahakamani. Hata hivyo ni haramu kuwaweka wengine khatarini. Kuhusu fidia na mengine yapelekwe mahakamani.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (44)
- Imechapishwa: 12/07/2024
Swali: Kuna mtu ameendesha kwenye taa nyekundu makusudi na kuwaua watembea kwa miguu kwa bahati mbaya. Je, anazingatiwa kuwa ameua kwa makusudi?
Jibu: Wataamua mahakama. Uhalifu huo upelekwe mahakamani. Hata hivyo ni haramu kuwaweka wengine khatarini. Kuhusu fidia na mengine yapelekwe mahakamani.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (44)
Imechapishwa: 12/07/2024
https://firqatunnajia.com/ameendesha-gari-kwenye-taa-nyekundu-na-akaua-mtembeaji-kwa-miguu/