Swali: Kuna mwanamke ameporomosha mimba baada ya kukamilika kwake.
Jibu: Ni lazima kwake kutubu kwa Allaah na ni lazima kwake kutoa diyaa. Vilevile anatakiwa kuadhibiwa na kutiwa adabu.
Swali: Hana kafara?
Jibu: Hapana. Ikiwa amefanya hivo kwa makusudi hakuna kafara. Kafara inakuwa kuua kimakosa au tukio linalofanana na kuua kimakosa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22066/حكم-من-اسقطت-جنينها-متعمدة-بعد-اكتماله
- Imechapishwa: 21/10/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket