169- Nilimuuliza baba yangu kuhusu msafiri ambaye ameamka akiwa mbali na maji. Akiyaenda maji basi jua litamchomozea. Je, afanye Tayammum au ayaendee maji? Akajibu:
“Ayatafute maji mpaka pale atakapochelea kupitwa na swalah. Wakati anapochelea kuchomoza kwa jua basi afanye Tayammum na kuswali.”
- Mhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/130-131)
- Imechapishwa: 22/01/2021
169- Nilimuuliza baba yangu kuhusu msafiri ambaye ameamka akiwa mbali na maji. Akiyaenda maji basi jua litamchomozea. Je, afanye Tayammum au ayaendee maji? Akajibu:
“Ayatafute maji mpaka pale atakapochelea kupitwa na swalah. Wakati anapochelea kuchomoza kwa jua basi afanye Tayammum na kuswali.”
Mhusika: Imaam ´Abdullaah bin Ahmad bin Hanbal
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad (1/130-131)
Imechapishwa: 22/01/2021
https://firqatunnajia.com/ameamka-mbali-na-maji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)