Swali: Ni ipi hukumu ya kutoa adhaana makaburini ili kuwaondoshea adhabu walio ndani ya makaburi?
Jibu: Haijuzu kufanya hivi. Hizo ni katika Bid´ah zilizozuliwa. Kama unataka kumnufaisha maiti muislamu muombee du´aa na sio kutoa adhaana.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (103) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-6-3-1441_1.mp3
- Imechapishwa: 22/01/2021
Swali: Ni ipi hukumu ya kutoa adhaana makaburini ili kuwaondoshea adhabu walio ndani ya makaburi?
Jibu: Haijuzu kufanya hivi. Hizo ni katika Bid´ah zilizozuliwa. Kama unataka kumnufaisha maiti muislamu muombee du´aa na sio kutoa adhaana.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (103) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-6-3-1441_1.mp3
Imechapishwa: 22/01/2021
https://firqatunnajia.com/adhaana-makaburini/