Swali: Nilifanya hajj na siku za Tashriyq sikulala Minaa, kwa sababu ya ujinga wangu sikujua kuwa ni wajibu kwangu kufanya hivo. Ni kipi kinachonilazimu?
Jibu: Ikiwa uliweza kulala Minaa na hukufanya hivo, basi utalazimika kutoa fidia kwa sababu ya kuacha kwako kulala Minaa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (23) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 05/07/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket