229 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu mtu ambaye hawezi kusimama isipokuwa kwa kuegemea fimbo. Je, ni wajibu kufanya hivyo?
Jibu: Ndiyo, kwa sababu ni muweza.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 93
- Imechapishwa: 02/05/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
229 – Nilimuuliza Shaykh wetu kuhusu mtu ambaye hawezi kusimama isipokuwa kwa kuegemea fimbo. Je, ni wajibu kufanya hivyo?
Jibu: Ndiyo, kwa sababu ni muweza.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 93
Imechapishwa: 02/05/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/ambaye-anaweza-kusimama-tu-kwa-kuegemea-kitu/