Swali: Je, inajuzu kumlaani mtengeneza picha na mwimbaji?
Jibu: Ndio, kwa jumla. Lakini usisemi “Allaah Mlaani fulani”. Kinyume chake sema “Allaah Awalaani watengeneza picha”, kama alivyosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
لَّعْنَةُ اللَّـهِ عَلَى الظَّالِمِينَ
“Laana ya Allaah iwe juu ya madhalimu.” (07:44)
فَلَعْنَةُ اللَّـهِ عَلَى الْكَافِرِينَ
“Basi laana ya Allaah iwe juu ya wakanushaji.” (02:89)
Sema kwa juma. Kuhusu kumlaani mtu kwa dhati yake, hili lina tofauti [kwa wanachuoni].
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (06) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_06.mp3
- Imechapishwa: 28/06/2018
Swali: Je, inajuzu kumlaani mtengeneza picha na mwimbaji?
Jibu: Ndio, kwa jumla. Lakini usisemi “Allaah Mlaani fulani”. Kinyume chake sema “Allaah Awalaani watengeneza picha”, kama alivyosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
لَّعْنَةُ اللَّـهِ عَلَى الظَّالِمِينَ
“Laana ya Allaah iwe juu ya madhalimu.” (07:44)
فَلَعْنَةُ اللَّـهِ عَلَى الْكَافِرِينَ
“Basi laana ya Allaah iwe juu ya wakanushaji.” (02:89)
Sema kwa juma. Kuhusu kumlaani mtu kwa dhati yake, hili lina tofauti [kwa wanachuoni].
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (06) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_06.mp3
Imechapishwa: 28/06/2018
https://firqatunnajia.com/allaah-awalaani-watengeneza-picha/