Swali: Maneno ya Allaah (Subhaanah):
إِلَىٰ رَبِّهَا نَاظِرَةٌ
“Zikimtazama Mola wake.” (75:23)
Je, kuna dalili ya kuthibitisha kuwa Allaah (Subhaanah) Yuko upande wa juu?
Jibu: Ndio, watamuona Mola Wao kwa upande wa juu. Hawatomuona mbele yao. Watamuona kwa upande wa juu. Atajionyesha kwao na wao watamuona. Ni kama mfano wa mwezi na jua, wanaviona kwa juu. Hawavioni kwa kuangalia upande wa ardhi. Wanaviona kwa upande wa juu mbinguni.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (49) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-6-3.mp3
- Imechapishwa: 21/08/2020
Swali: Maneno ya Allaah (Subhaanah):
إِلَىٰ رَبِّهَا نَاظِرَةٌ
“Zikimtazama Mola wake.” (75:23)
Je, kuna dalili ya kuthibitisha kuwa Allaah (Subhaanah) Yuko upande wa juu?
Jibu: Ndio, watamuona Mola Wao kwa upande wa juu. Hawatomuona mbele yao. Watamuona kwa upande wa juu. Atajionyesha kwao na wao watamuona. Ni kama mfano wa mwezi na jua, wanaviona kwa juu. Hawavioni kwa kuangalia upande wa ardhi. Wanaviona kwa upande wa juu mbinguni.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (49) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-6-3.mp3
Imechapishwa: 21/08/2020
https://firqatunnajia.com/allaah-ataonekana-akiwa-juu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)