Allaah anasifiwa kukasirika na hasifiwi kuwa ni mwenye kuhuzunika. Kwa sababu huzuni ni upungufu. Kughadhibika mahala pake ni ukamilifu.

  • Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh Riyaadh-is-Swaalihiyn (01/274)
  • Imechapishwa: 27/04/2023