Swali: Ni ipi hukumu ya kusema kwamba Allaah hakutuumba isipokuwa kwa ajili ya mitihani na majaribio?
Jibu: Allaah (Ta´ala) amesema:
الَّذِي خَلَقَ الْمَوْتَ وَالْحَيَاةَ لِيَبْلُوَكُمْ أَيُّكُمْ أَحْسَنُ عَمَلًا
“Ambaye ameumba kifo na uhai ili akujaribuni ni nani kati yenu mwenye matendo mema zaidi.”[1]
Kuna majaribio katika ´ibaadah na utiifu. Mwenye kutii basi ana Pepo na mwenye kuasi ana Moto.
[1] 67:02
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (04) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191047#191047
- Imechapishwa: 08/09/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)