Swali: Maiti akiacha anausia kwa kumtaja jina mtu wa kumuosha. Je, ni lazima kutekeleza wasia?
Jibu: Ndio. Ni lazima kutekeleza wasia. Ikiwa yule ambaye ameusia anazijua hukumu za kuosha basi ndiye ana haki zaidi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (105) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/20-03-1441-H-%20igah.mp3
- Imechapishwa: 16/10/2020
Swali: Maiti akiacha anausia kwa kumtaja jina mtu wa kumuosha. Je, ni lazima kutekeleza wasia?
Jibu: Ndio. Ni lazima kutekeleza wasia. Ikiwa yule ambaye ameusia anazijua hukumu za kuosha basi ndiye ana haki zaidi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (105) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/20-03-1441-H-%20igah.mp3
Imechapishwa: 16/10/2020
https://firqatunnajia.com/aliyeacha-anausiwa-ndiye-anapaswa-kumuosha-maiti/