Swali: Ni zipi alama za kukubaliwa kwa Ramadhaan?
Jibu:
إِنَّمَا يَتَقَبَّلُ اللَّـهُ مِنَ الْمُتَّقِينَ
“Hakika si venginevyo Allaah anatakabalia wachaji Allaah”. (05:27)
Alama ya kukubaliwa ni mtu kuwa na uchaji Allaah. Ikiwa mtu yuko na taqwa basi hii ni alama ya ukubaliwaji.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo%20%20-%2021%20-%2008%20-%201435.mp3
- Imechapishwa: 09/04/2015
Swali: Ni zipi alama za kukubaliwa kwa Ramadhaan?
Jibu:
إِنَّمَا يَتَقَبَّلُ اللَّـهُ مِنَ الْمُتَّقِينَ
“Hakika si venginevyo Allaah anatakabalia wachaji Allaah”. (05:27)
Alama ya kukubaliwa ni mtu kuwa na uchaji Allaah. Ikiwa mtu yuko na taqwa basi hii ni alama ya ukubaliwaji.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo%20%20-%2021%20-%2008%20-%201435.mp3
Imechapishwa: 09/04/2015
https://firqatunnajia.com/alama-ya-kukubaliwa-kwa-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)