´mr Khaalid anasema kuhusiana na Hadiyth:
“Wanawake ni wapungufu wa akili na Dini.”
Anaipinga. Wewe ni nani ewe ´Amr Khaalid? Ninamuomba Allaah Akuongoze wewe na sisi. Unampinga Mtume (´alayhis-Salaam)? Na anataka kuipindua Hadiyth na kusema kuwa Mtume alikuwa anafanya mzaha (kutania) na wanawake tu. Je, Mtume anafanya mzaha na kudanganya?! Ni kweli alikuwa akifanya mzaha, ila hasemi ila kweli tu. Alipokuwa anafanya mzaha hasemi ila kweli tu. Sawa wakati wa kufanya mzaha au akiwa Jiddi, hasemi ila kweli tu. Haiwezekani kwa Mtume (´alayhis-Salaam). ´Amr Khaalid anaipinga kwa kukazia na kusema alikuwa [Mtume] anatania na wanawake.
- Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Waswaabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://http//www.olamayemen.net/MultimediaDetails_ar.aspx?ID=6598&size=2&ex…
- Imechapishwa: 28/07/2020
´mr Khaalid anasema kuhusiana na Hadiyth:
“Wanawake ni wapungufu wa akili na Dini.”
Anaipinga. Wewe ni nani ewe ´Amr Khaalid? Ninamuomba Allaah Akuongoze wewe na sisi. Unampinga Mtume (´alayhis-Salaam)? Na anataka kuipindua Hadiyth na kusema kuwa Mtume alikuwa anafanya mzaha (kutania) na wanawake tu. Je, Mtume anafanya mzaha na kudanganya?! Ni kweli alikuwa akifanya mzaha, ila hasemi ila kweli tu. Alipokuwa anafanya mzaha hasemi ila kweli tu. Sawa wakati wa kufanya mzaha au akiwa Jiddi, hasemi ila kweli tu. Haiwezekani kwa Mtume (´alayhis-Salaam). ´Amr Khaalid anaipinga kwa kukazia na kusema alikuwa [Mtume] anatania na wanawake.
Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Waswaabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://http//www.olamayemen.net/MultimediaDetails_ar.aspx?ID=6598&size=2&ex…
Imechapishwa: 28/07/2020
https://firqatunnajia.com/al-waswaabiy-kuhusu-amr-khaalid/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)