Swali: Shaykh wetu Morocco anaitwa al-Maghraawiy, analingania watu kwenye maandamano Marocco na anayaita kuwa ni maandamano ya Kishari´ah kutokana na ambavyo yalivyo.

Jibu: al-Maghraawiy ni maarufu ajulikana kuwa ni Takfiyriy na ni katika Khawaarij. al-Maghraawiy si katika maulamaa wa Ahl-us-Sunanh wal-Jamaa´ah, bali ni Takfiyriy Khaarijiy. Kutokana na hili anachukuliwa ni katika watu wa Bid´ah na matamanio. Na kauli yake hii imejengeka katika mfumo aliomo, mfumo wa Takfiyriy wa Khawaarij.

  • Mhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Waswaabiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://www.youtube.com/watch?v=lmNYi0up9Vg
  • Imechapishwa: 23/07/2020