Swali: Ni ipi hukumu ya Uislamu kuhusu kuwatahiri wasichana na zipi dalili juu ya hilo?
Jibu: Ni Sunnah. Kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipokuwa anazungumzia juu ya Fitrah moja wapo alitaja kuwa ni kutahiriwa. Hili linamgusa mvulana na msichana.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=3538
- Imechapishwa: 03/05/2015
Swali: Ni ipi hukumu ya Uislamu kuhusu kuwatahiri wasichana na zipi dalili juu ya hilo?
Jibu: Ni Sunnah. Kwa kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipokuwa anazungumzia juu ya Fitrah moja wapo alitaja kuwa ni kutahiriwa. Hili linamgusa mvulana na msichana.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=3538
Imechapishwa: 03/05/2015
https://firqatunnajia.com/al-waadiiy-kuhusu-kuwatahiri-watoto-wakike/