Swali: Je, Abul-A´laa al-Mawduudiy anahesabika kuwa ni katika maimamu wa Uislamu?
Jibu: Kuna Tashayyu’ ya wazi kwake. Anahesabika ni mmoja katika maimamu wa watu wa Bid´ah. Allaah Amjaze kheri ndugu mmoja kwa kuandika ”Zawaabi´ fiy Wajh-is-Sunnah” ambapo amefafanua ikiwa ni pamoja na hali ya Abul-A´laa al-Mawduudiy ambaye ni katika wale wanaozishambulia Sunnah za Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na kuzipa daraja Hadiyth Swahiyh katika al-Bukhaariy na Muslim kuwa ni dhaifu kwa sababu ya matamanio.
- Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 165
- Imechapishwa: 22/04/2015
Swali: Je, Abul-A´laa al-Mawduudiy anahesabika kuwa ni katika maimamu wa Uislamu?
Jibu: Kuna Tashayyu’ ya wazi kwake. Anahesabika ni mmoja katika maimamu wa watu wa Bid´ah. Allaah Amjaze kheri ndugu mmoja kwa kuandika ”Zawaabi´ fiy Wajh-is-Sunnah” ambapo amefafanua ikiwa ni pamoja na hali ya Abul-A´laa al-Mawduudiy ambaye ni katika wale wanaozishambulia Sunnah za Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na kuzipa daraja Hadiyth Swahiyh katika al-Bukhaariy na Muslim kuwa ni dhaifu kwa sababu ya matamanio.
Muhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwaaih wa Naswaaih, uk. 165
Imechapishwa: 22/04/2015
https://firqatunnajia.com/al-mawduudiy-mmoja-katika-maimamu-wa-ahl-ul-bidah/