Katika ukurasa wa 195 na 395 anakariri – Muhammad ´Aliy as-Swaabuuniy – neno “shahidi wa Kiislamu” na anakusudia Sayyid Qutwub (Rahimahu Allaah) wakati anapomnukuu ili kufasiri baadhi ya Aayah. Hii ni kwa kuzingatia ya kwamba haijuzu kumshuhudilia shahaadah yeyote midhali hakuna dalili ya hilo katika maneno ya Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Hatumshuhudilii Pepo yeyote bila ya dalili. Hata hivyo tunatarajia mema kwa waislamu ambao wanafanya matendo mazuri na kuchelea kwa waislamu wanaotenda madhambi.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Bayaan li Akhtwaa’ Ba´dhw-il-Kuttaab, uk. 64
- Imechapishwa: 23/04/2015
Katika ukurasa wa 195 na 395 anakariri – Muhammad ´Aliy as-Swaabuuniy – neno “shahidi wa Kiislamu” na anakusudia Sayyid Qutwub (Rahimahu Allaah) wakati anapomnukuu ili kufasiri baadhi ya Aayah. Hii ni kwa kuzingatia ya kwamba haijuzu kumshuhudilia shahaadah yeyote midhali hakuna dalili ya hilo katika maneno ya Allaah na Mtume Wake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Hatumshuhudilii Pepo yeyote bila ya dalili. Hata hivyo tunatarajia mema kwa waislamu ambao wanafanya matendo mazuri na kuchelea kwa waislamu wanaotenda madhambi.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Bayaan li Akhtwaa’ Ba´dhw-il-Kuttaab, uk. 64
Imechapishwa: 23/04/2015
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-shahaadah-kwa-sayyid-qutwub/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)