Swali: Ni ipi kauli yenye nguvu juu ya Luqmaan; ni Nabii au mtu mwenye hekima miongoni mwa wenye hekima?
Jibu: Ni nani aliyesema kuwa ni Luqmaan ni Mtume? Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema:
“Je, hukusikia kauli ya mja mwema… “
Tofauti iko kwa Khidhr kama ni Nabii au mja mwema. Kuhusu Luqmaan hakuna yeyote aliyesema kuwa ni Nabii.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (36) http://alfawzan.af.org.sa/node/2133
- Imechapishwa: 13/07/2020
Swali: Ni ipi kauli yenye nguvu juu ya Luqmaan; ni Nabii au mtu mwenye hekima miongoni mwa wenye hekima?
Jibu: Ni nani aliyesema kuwa ni Luqmaan ni Mtume? Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alisema:
“Je, hukusikia kauli ya mja mwema… “
Tofauti iko kwa Khidhr kama ni Nabii au mja mwema. Kuhusu Luqmaan hakuna yeyote aliyesema kuwa ni Nabii.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (36) http://alfawzan.af.org.sa/node/2133
Imechapishwa: 13/07/2020
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-luqmaan/