Swali: Je, jina la Khaalid au Swaalih ndani yake kuna kujisifu?
Jibu: Hapana, hakuna kujisifu. Swaalih ni jina la Nabii na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ametuamrisha kujiita kwa majina ya Manabii.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (28) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-5-25.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Je, jina la Khaalid au Swaalih ndani yake kuna kujisifu?
Jibu: Hapana, hakuna kujisifu. Swaalih ni jina la Nabii na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ametuamrisha kujiita kwa majina ya Manabii.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (28) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-5-25.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-jina-la-swaalih-na-khaalid/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)