“al-Albaaniy ni bingwa katika fani ya Hadiyth”

Swali: Vitabu vya al-Albaaniy na usahihishaji wake wa Hadiyth?

Jibu: Vitabu vya al-Albaaniy ni vizuri. Lakini ana kuchukulia wepesi katika baadhi ya mambo na ana baadhi ya makosa katika baadhi yake. Baadhi yavyo ni vizuri. Amebobea katika fani hii na ni bingwa Allaah Amjaze kheri. Lakini katika usahihishaji wake ana baadhi ya makosa. Allaah Amrahamu. Amuwafikishe. Ambariki.

  • Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=14489
  • Imechapishwa: 05/05/2015