al-Albaaniy: Anastahiki kuelezwa kwa sifa hiyo (yaani kuwa ni mpotevu), ikiwa anamaanisha al-Ghazaaliy wa sasa. Ni sahihi.
Swali: Vitabu vya al-Ghazaaliy?
Muulizaji: Nido.
al-Albaaniy: Yote mawili. Huwezi. Wengine wanaweza. Mtu mwenye kusoma vitabu vya al-Ghazaaliy anatakiwa kuwa mwanachuoni katika Qur-aan na Sunnah ili asipotee na huyu mpotevu al-Ghazaaliy. Umesikia jibu?
Muulizaji: Ndio.
al-Albaaniy: al-Ghazaaliy ni mtunzi mzuri na anaongea vizuri na anaathiri nyoyo za vijana. Wanapotea na upotevu wake. Ikiwa mtu hana ufahamu sahihi, haiwezekani kwa mtu akaepuka upotevu wake.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Silsilat-ul-Hudaa wan-Nuur (591)
- Imechapishwa: 23/07/2020
al-Albaaniy: Anastahiki kuelezwa kwa sifa hiyo (yaani kuwa ni mpotevu), ikiwa anamaanisha al-Ghazaaliy wa sasa. Ni sahihi.
Swali: Vitabu vya al-Ghazaaliy?
Muulizaji: Nido.
al-Albaaniy: Yote mawili. Huwezi. Wengine wanaweza. Mtu mwenye kusoma vitabu vya al-Ghazaaliy anatakiwa kuwa mwanachuoni katika Qur-aan na Sunnah ili asipotee na huyu mpotevu al-Ghazaaliy. Umesikia jibu?
Muulizaji: Ndio.
al-Albaaniy: al-Ghazaaliy ni mtunzi mzuri na anaongea vizuri na anaathiri nyoyo za vijana. Wanapotea na upotevu wake. Ikiwa mtu hana ufahamu sahihi, haiwezekani kwa mtu akaepuka upotevu wake.
Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Silsilat-ul-Hudaa wan-Nuur (591)
Imechapishwa: 23/07/2020
https://firqatunnajia.com/al-albaaniy-kuhusu-kusoma-vitabu-vya-muhammad-al-ghazaaliy/