Suurah hii, pamoja na ufupi wake, imekusanya mambo ambayo haijakusanya Suurah yoyote ndani ya Qur-aan. Imekusanya aina tatu za Tawhiyd:
1- Tawhiyd-ur-Rubuubiyyah ambayo inachukuliwa kutoka katika maneno Yake:
رَبِّ الْعَالَمِينَ
”Mola wa walimwengu.”
2- Tawhiyd-ul-Ilaahiyyah ambayo ni kule kumpwekesha Allaah kwa ´ibaadah. Inachukuliwa katika maneno Yake:
اللَّهِ
”Allaah.”
pia:
إِيَّاكَ نَعْبُدُ
”Wewe pekee ndiye tunakuabudu.”
3- Tawhiyd-ul-Asmaa´ was-Swifaat. Ni kule kumthibitishia Allaah sifa kamilifu ambazo amejithibitishia Mwenyewe na akamthibitishia Mtume Wake. Mtu anatakiwa kufanya hivo pasi na kukanusha, kufananisha wala kushabibisha. Dalili ya hilo ni tamko lake:
الْحَمْدُ
“Himdi.”
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Taysiyr-ul-Kariym, sid. 28
- Imechapishwa: 02/05/2020
Suurah hii, pamoja na ufupi wake, imekusanya mambo ambayo haijakusanya Suurah yoyote ndani ya Qur-aan. Imekusanya aina tatu za Tawhiyd:
1- Tawhiyd-ur-Rubuubiyyah ambayo inachukuliwa kutoka katika maneno Yake:
رَبِّ الْعَالَمِينَ
”Mola wa walimwengu.”
2- Tawhiyd-ul-Ilaahiyyah ambayo ni kule kumpwekesha Allaah kwa ´ibaadah. Inachukuliwa katika maneno Yake:
اللَّهِ
”Allaah.”
pia:
إِيَّاكَ نَعْبُدُ
”Wewe pekee ndiye tunakuabudu.”
3- Tawhiyd-ul-Asmaa´ was-Swifaat. Ni kule kumthibitishia Allaah sifa kamilifu ambazo amejithibitishia Mwenyewe na akamthibitishia Mtume Wake. Mtu anatakiwa kufanya hivo pasi na kukanusha, kufananisha wala kushabibisha. Dalili ya hilo ni tamko lake:
الْحَمْدُ
“Himdi.”
Mhusika: ´Allaamah ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Taysiyr-ul-Kariym, sid. 28
Imechapishwa: 02/05/2020
https://firqatunnajia.com/aina-tatu-za-tawhiyd-katika-al-faatihah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)