Abu ´Abdillaah Ahmad bin Hanbal amesema:
“Usiwauzie chakula na nguo Khawaarij na usinunue chochote kutoka kwao. Khawaarij ni majambazi na ni watu waovu.”
“Usizungumze nao na usiwaombee du´aa.”
“Khawaarij ni watu waovu. Sijui kama kuna mtu yeyote katika ardhi muovu zaidi kuliko wao.”
- Muhusika: Imaam Abu Bakr al-Khallaal
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: as-Sunnah (1/100, 1//155, 1/157)
- Imechapishwa: 06/09/2020
Abu ´Abdillaah Ahmad bin Hanbal amesema:
“Usiwauzie chakula na nguo Khawaarij na usinunue chochote kutoka kwao. Khawaarij ni majambazi na ni watu waovu.”
“Usizungumze nao na usiwaombee du´aa.”
“Khawaarij ni watu waovu. Sijui kama kuna mtu yeyote katika ardhi muovu zaidi kuliko wao.”
Muhusika: Imaam Abu Bakr al-Khallaal
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: as-Sunnah (1/100, 1//155, 1/157)
Imechapishwa: 06/09/2020
https://firqatunnajia.com/ahmad-bin-hanbal-kuhusu-khawaarij/