Hakuna maoni dhaifu kwa Ahl-us-Sunnah isipokuwa pia ipo kwa Shiy´ah na bali dhaifu zaidi.
Shiy´ah hawana maoni yenye nguvu isipokuwa pia ipo kwa Ahl-us-Sunnah na bali yenye nguvu zaidi.
Ni jambo lisiloweza kufikiriwa kwamba Shiy´ah watakuwa na maoni yenye nguvu ambayo hayajasemwa na yeyote katika Ahl-us-Sunnah. Hivyo inapata kuthibiti kwamba Ahl-us-Sunnah ni kheri kuliko wao katika kila kitu kama ambavyo waislamu ni bora kuliko mayahudi na manaswara katika kila kheri.
- Muhusika: Shaykh-ul-Islam Ahmad bin Taymiyyah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Minhaaj-us-Sunnah an-Nabawiyyah (1/465-466)
- Imechapishwa: 14/12/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)