Swali: Watu wengi wanajengea hoja kwa kunyamaza kwa Ahl-us-Sunnah wengi wakati wa kuenea kwa Bid´ah na matamanio, na khaswa hii leo, na kunapotokea ukaripiaji inakuwa pasi na upazaji sauti wa wanazuoni na kuzungumza hilo kwa uwazi. Unasemaje juu ya hilo?
Jibu: Si sahihi. Ahl-us-Sunnah wote hawanyamazi. Ni lazima Allaah afanye kuwepo mtu katika Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah anayekemea. Pengine wakawa si wengi. Anaweza kuwa ambaye anafanya hivo ni mmoja tu; Allaah anamfanya kuwasimamishia hoja waja Wake. Si kweli kusema kuwa wananyamaza kabisa. Hawanyamazi wote.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tatwhiyr-il-I´tiqaad (11) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/et–1432-05-15.mp3
- Imechapishwa: 12/11/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)