´Allaamah ar-Raajihiy: Adhaana ni wajibu kwa kila msikiti au inatosha ikiwa kumeadhiniwa katika mji?
Jibu: Ni kwa kila msikiti, ndio.
´Allaamah ar-Raajihiy: Vipi ikiwa wataacha wakategemea waadhini wengine?
Jibu: Hapana, ni wajibu katika kila msikiti. Kwa sababu kila msikiti una watu wanaomsubiri muadhini wao. Mara nyingi huwa kuna umbali baina yao kiasi cha kwamba hawawezi kumsikia muadhini wa msikiti mwingine.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31547/هل-الاذان-فرض-على-كل-مسجد
- Imechapishwa: 02/11/2025
´Allaamah ar-Raajihiy: Adhaana ni wajibu kwa kila msikiti au inatosha ikiwa kumeadhiniwa katika mji?
Jibu: Ni kwa kila msikiti, ndio.
´Allaamah ar-Raajihiy: Vipi ikiwa wataacha wakategemea waadhini wengine?
Jibu: Hapana, ni wajibu katika kila msikiti. Kwa sababu kila msikiti una watu wanaomsubiri muadhini wao. Mara nyingi huwa kuna umbali baina yao kiasi cha kwamba hawawezi kumsikia muadhini wa msikiti mwingine.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31547/هل-الاذان-فرض-على-كل-مسجد
Imechapishwa: 02/11/2025
https://firqatunnajia.com/adhaana-kwenye-kila-msikiti/