Swali: Adhaana ni lazima juu ya kikosi cha wasafiri au imependekeza kwao?

Jibu: Imekokotezwa juu yao. Bali udhahiri wa maandiko ni ulazima. Kila kikosi cha watu wanatakiwa kuadhini na kukimu.

  • Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (22)
  • Imechapishwa: 30/10/2021