Swali: Je, ad-Dajjaal yuko hai hivi sasa?
Jibu: Kinachotambulika ni kuwa yuko hai katika Hadiyth iliopokelewa na Muslim katika “as-Swahiyh” yake. Yupo lakini ni mwenye kuwekwa kizuizini mpaka atakaporuhusiwa kutoka.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/22163/هل-الدجال-حي-الان
- Imechapishwa: 29/10/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)