Swali: Ni yapi maoni yenu juu ya Muhaddith Abu Ishaaq al-Huwayniy na kitabu “Taysiyr ´Uluum-ul-Hadiyth”?
Jibu: Ni jambo lenye kujulikana kwamba Abu Ishaaq ana elimu katika Hadiyth. Ana uelewa na elimu kuhusu Takhriyj katika Hadiyth.
Hata hivyo kumepokelewa kutoka kwake mambo mengi yanayoenda kinyume na madhehebu ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Hivyo inatakiwa kutaamiliana naye mu´amala wa Ahl-ul-Bid´ah. Kuna watu wenye kutosheleza katika Ahl-ul-Bid´ah ambao ni wajuzi katika Takhriyj. Hakuna haja yake. Ni katika mfumo wa Salaf-us-Swaalih mwanafunzi ajiepushe na kuongeza idadi ya Ahl-ul-Bid´ah, kuwapa mshangilio, kuwapa nguvu na kurejea katika vitabu vyao na kuchuma faida humo. Kunaweza kutokea hilo. Yale ambayo Ahl-us-Sunnah wameandika katika Takhriyj na Mustwalah yanatosheleza kwa kurejea katika vitabu vya Abu Ishaaq.
- Mhusika: Shaykh Muhammad bin ´Umar Baazmuul
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://rapidshare.com/files/336359028/Bazmul_Huw.wav.html
- Imechapishwa: 22/04/2015
Swali: Ni yapi maoni yenu juu ya Muhaddith Abu Ishaaq al-Huwayniy na kitabu “Taysiyr ´Uluum-ul-Hadiyth”?
Jibu: Ni jambo lenye kujulikana kwamba Abu Ishaaq ana elimu katika Hadiyth. Ana uelewa na elimu kuhusu Takhriyj katika Hadiyth.
Hata hivyo kumepokelewa kutoka kwake mambo mengi yanayoenda kinyume na madhehebu ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Hivyo inatakiwa kutaamiliana naye mu´amala wa Ahl-ul-Bid´ah. Kuna watu wenye kutosheleza katika Ahl-ul-Bid´ah ambao ni wajuzi katika Takhriyj. Hakuna haja yake. Ni katika mfumo wa Salaf-us-Swaalih mwanafunzi ajiepushe na kuongeza idadi ya Ahl-ul-Bid´ah, kuwapa mshangilio, kuwapa nguvu na kurejea katika vitabu vyao na kuchuma faida humo. Kunaweza kutokea hilo. Yale ambayo Ahl-us-Sunnah wameandika katika Takhriyj na Mustwalah yanatosheleza kwa kurejea katika vitabu vya Abu Ishaaq.
Mhusika: Shaykh Muhammad bin ´Umar Baazmuul
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://rapidshare.com/files/336359028/Bazmul_Huw.wav.html
Imechapishwa: 22/04/2015
https://firqatunnajia.com/abu-ishaaq-al-huwayniy-ataamiliwe-kama-ahl-ul-bidah-2/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)