Jamaa´at-ut-Tabliygh wana baadhi ya makosa katika masuala ya imani na mfumo. Haijuzu kutoka nao na kujiunga nao ikiwa mtu hana elimu na Baswiyrah katika Dini na akanuia kuwashauri na kuwaelekeza.
Ama kuhusu ´Awwaam na watu wenye elimu ndogo, anaingia katika khatari kubwa. Huyu asitoke nao wala kujiunga nao.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalush-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Buhuuth al-Islaamiyyah (84/70)
- Imechapishwa: 22/04/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)