Swali: Ni ipi hukumu kwa mwenye kuhukumu kinyume na Shari´ah katika mambo yote isipokuwa mambo ya ndoa, talaka na mirathi?
Jibu: Tumetangulia kusema kuhusu hili. Tumesema kuwa akihukumu kinyume na Shari´ah katika mambo yote, huyu amebadili dini. Mwenye kubadili dini amekufuru. Wanachuoni wengine wakasema ni lazima kwanza kumsimamishia hoja kwa kuwa anaweza kuwa na shubuha na anaweza kuwa ni mjinga.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=4745
- Imechapishwa: 01/05/2015
Swali: Ni ipi hukumu kwa mwenye kuhukumu kinyume na Shari´ah katika mambo yote isipokuwa mambo ya ndoa, talaka na mirathi?
Jibu: Tumetangulia kusema kuhusu hili. Tumesema kuwa akihukumu kinyume na Shari´ah katika mambo yote, huyu amebadili dini. Mwenye kubadili dini amekufuru. Wanachuoni wengine wakasema ni lazima kwanza kumsimamishia hoja kwa kuwa anaweza kuwa na shubuha na anaweza kuwa ni mjinga.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajhiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://subulsalam.com/play.php?catsmktba=4745
Imechapishwa: 01/05/2015
https://firqatunnajia.com/aanayehukumu-kwa-kanuni-katika-mambo-yoteanayehukumu-kwa-kanuni-katika-mambo-yote-2__trashed/