95 – Naswr bin ´Aliy ametuhadithia: Khaalid bin Yaziyd ametuhadithia, kutoka kwa Abu Ja´far, kutoka kwa ar-Rabiy´ bin Anas, kutoka kwa Abul-´Aaliyah, ambaye amesema kuhusiana na Aayah:
إِنَّ اللَّـهَ وَمَلَائِكَتَهُ يُصَلُّونَ عَلَى النَّبِيِّ
“Hakika Allaah na Malaika Wake wanamswalia Mtume.”[1]
”Allaah (´Azza wa Jall) kumswalia ni kule kumsifu na Malaika kumswalia ni kule kumuombea du´aa.”[2]
[1] 33:56
[2] Cheni ya wapokezi ni nzuri. Wapokezi wake ni waaminifu isipokuwa tu Abu Ja´far ar-Raaziy, ambaye kuna makinzano juu ya jina lake. Ana unyonge kutokana na kumbukumbu yake mbaya. Kwa ajili hiyo mtu anatakiwa kuwa makini juu ya yale anayosimulia kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), lakini katika hali kama hii hapana vibaya – Allaah akitaka. Pengine ndio sababu ya al-Bukhaariy alithibitisha kuwa kweli Abul-´Aaliyah amesema hivo. Haafidhw Ibn Hajar amesema:
”Ameipokea Ibn Abiy Haatim kupitia kwa Aadam bin Abiy Iyaas: Abu Ja´far ar-Raaziy na Khaalid bin Yaziyd al-´Atakiy wametuhaidthia.” (Fath-ul-Baariy (8/409))
- Muhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 82
- Imechapishwa: 14/02/2024
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
95 – Naswr bin ´Aliy ametuhadithia: Khaalid bin Yaziyd ametuhadithia, kutoka kwa Abu Ja´far, kutoka kwa ar-Rabiy´ bin Anas, kutoka kwa Abul-´Aaliyah, ambaye amesema kuhusiana na Aayah:
إِنَّ اللَّـهَ وَمَلَائِكَتَهُ يُصَلُّونَ عَلَى النَّبِيِّ
“Hakika Allaah na Malaika Wake wanamswalia Mtume.”[1]
”Allaah (´Azza wa Jall) kumswalia ni kule kumsifu na Malaika kumswalia ni kule kumuombea du´aa.”[2]
[1] 33:56
[2] Cheni ya wapokezi ni nzuri. Wapokezi wake ni waaminifu isipokuwa tu Abu Ja´far ar-Raaziy, ambaye kuna makinzano juu ya jina lake. Ana unyonge kutokana na kumbukumbu yake mbaya. Kwa ajili hiyo mtu anatakiwa kuwa makini juu ya yale anayosimulia kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), lakini katika hali kama hii hapana vibaya – Allaah akitaka. Pengine ndio sababu ya al-Bukhaariy alithibitisha kuwa kweli Abul-´Aaliyah amesema hivo. Haafidhw Ibn Hajar amesema:
”Ameipokea Ibn Abiy Haatim kupitia kwa Aadam bin Abiy Iyaas: Abu Ja´far ar-Raaziy na Khaalid bin Yaziyd al-´Atakiy wametuhaidthia.” (Fath-ul-Baariy (8/409))
Muhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 82
Imechapishwa: 14/02/2024
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/94-athar-allaah-azza-wa-jall-kumswalia-ni-kule/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)