Faida ya tano: Ni jambo halikusuniwa kuyakusanya matamshi yote haya ya du´aa katika swalah moja. Mfano wa hilo ni kama zile du´aa mbalimbali za kufungulia swalah, Tashahhud na kwenginepo. Kufanya hivo ni Bid´ah. Sunnah ni mara kusoma du´aa hii na wakati mwingine kusoma du´aa nyingine. Hivo ndivyo Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah ameyabainisha hayo katika utafiti wa somo la Takbiyraat katika swalah ya ´Iyd[1].
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (1/253/69).
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 153
- Imechapishwa: 07/01/2019
Faida ya tano: Ni jambo halikusuniwa kuyakusanya matamshi yote haya ya du´aa katika swalah moja. Mfano wa hilo ni kama zile du´aa mbalimbali za kufungulia swalah, Tashahhud na kwenginepo. Kufanya hivo ni Bid´ah. Sunnah ni mara kusoma du´aa hii na wakati mwingine kusoma du´aa nyingine. Hivo ndivyo Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah ameyabainisha hayo katika utafiti wa somo la Takbiyraat katika swalah ya ´Iyd[1].
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (1/253/69).
Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swifatu Swalaat-in-Nabiy, uk. 153
Imechapishwa: 07/01/2019
https://firqatunnajia.com/90-faida-ya-tano-ya-kumswalia-mtume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)