90 – Sulaymaan bin Harb ametuhadithia: Hammaad bin Salamah ametuhadithia, kutoka kwa ´Abdullaah bin Abiy Bakr, ambaye ameeleza:
”Tulikuwa Khayf[1] pamoja na ´Abdullaah bin Abiy ´Utbah. Akamuhimidi Allaah na kumsifu, akamswalia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na akaomba du´aa. Kisha baadaye akasimama na kutuswalisha.”[2]
[1] Ni maeneo Minaa karibu na nguzo za kutupa vijiwe.
[2] Cheni ya wapokezi ni Swahiyh. ´Abdullaah bin Abiy ´Utbah al-Answaariy al-Baswriy alikuwa ni mtumwa wa Anas aliyemwacha huru. ´Abdullaah bin Abiy Bakr ni Ibn Muhammad bin ´Amr bin Hazm al-Answaariy al-Qaadhwiy. Wote wawili ni miongoni mwa ambao al-Bukhaariy anawatumia kama hoja.
- Muhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Ishaaq al-Maalikiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwl-us-Swalaah ´alaan-Nabiy, uk. 78
- Imechapishwa: 12/02/2024
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket