Kuhukumu kwa yale aliyoteremsha Allaah ni jambo limeenea na sio katika mambo ya magomvi na migogoro mahakamani peke yake. Hivyo ndivo wanavyofikiria baadhi ya watu. Kuhusu mambo ya ´Aqiydah watu waachwe na kila mmoja afuate na kuchagua atakacho. Hili ni jambo kubwa na la khatari sana. Hukumu ya Allaah ni yenye kuenea katika mambo yote haya na zaidi ya hapo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam, uk. 107
- Imechapishwa: 19/11/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)