Swali 78: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa na watoto wangapi?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa na wavulana watatu:
1 – al-Qaasim, ambaye pia alikuwa akijulikana kama at-Twayyib na at-Twaahir. Alikuwa akiitwa kun-ya kwa jina hilo.
2 – ‘Abdullaah.
3 – Ibraahiym.
Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) pia alikuwa na wasichana wanne:
1 – Faatwimah.
2 – Zaynab.
3 – Ruqayyah.
4 – Umm Kulthum.
Watoto wote wa Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam) aliwazaa na Khadiyjah, isipokuwa tu Ibraahiym. Wote walikufa kabla yake (Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam), isipokuwa tu Faatwimah.
- Muhusika: ´Allaamah Haafidhw bin Ahmad al-Hakamiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Amaaliy fiys-Siyrah an-Nabawiyyah, uk. 146
- Imechapishwa: 13/11/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)