Swali 76: Ni nani ambaye Mtume Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimwacha aswalishe wakati wa kuguua kwake?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimwacha aswalishe swahiba yake pangoni na rafiki yake katika hali ya safari na ya ukazi, mtu wa kwanza ambaye alimsadikisha katika ujumbe wake na kujisalimisha kwa yale aliyokuja nayo, na khaliyfah wa kwanza juu ya ummah wake – Abu Bakr as-Swiddiyq. Allaah amuwie radhi na amridishe!
- Mhusika: ´Allaamah Haafidhw bin Ahmad al-Hakamiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Amaaliy fiys-Siyrah an-Nabawiyyah, uk. 145
- Imechapishwa: 11/11/2023
Swali 76: Ni nani ambaye Mtume Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimwacha aswalishe wakati wa kuguua kwake?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimwacha aswalishe swahiba yake pangoni na rafiki yake katika hali ya safari na ya ukazi, mtu wa kwanza ambaye alimsadikisha katika ujumbe wake na kujisalimisha kwa yale aliyokuja nayo, na khaliyfah wa kwanza juu ya ummah wake – Abu Bakr as-Swiddiyq. Allaah amuwie radhi na amridishe!
Mhusika: ´Allaamah Haafidhw bin Ahmad al-Hakamiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Amaaliy fiys-Siyrah an-Nabawiyyah, uk. 145
Imechapishwa: 11/11/2023
https://firqatunnajia.com/76-ni-nani-ambaye-mtume-mtume-alimwacha-aswalishe-wakati-wa-kuguua-kwake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)