07 – Kutokwa na damu ya hedhi na ya uzazi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema kuhusu mwanamke:
“Je, si haswali wala hafungi pale anapopata hedhi?”
Swawm yake inaharibika pale atakapoona damu ya hedhi na nifasi. Ni mamoja mwanzoni mwa mchana au mwishoni mwake ijapo ni kitambo kidogo kabla ya kuzama kwa jua. Ikiwa atahisi kuhamahama kwa damu na isionekane isipokuwa baada ya kuzama kwa jua, basi swawm yake ni sahihi.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 102
- Imechapishwa: 28/02/2024
07 – Kutokwa na damu ya hedhi na ya uzazi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema kuhusu mwanamke:
“Je, si haswali wala hafungi pale anapopata hedhi?”
Swawm yake inaharibika pale atakapoona damu ya hedhi na nifasi. Ni mamoja mwanzoni mwa mchana au mwishoni mwake ijapo ni kitambo kidogo kabla ya kuzama kwa jua. Ikiwa atahisi kuhamahama kwa damu na isionekane isipokuwa baada ya kuzama kwa jua, basi swawm yake ni sahihi.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majaalis Shahr Ramadhwaan, uk. 102
Imechapishwa: 28/02/2024
https://firqatunnajia.com/75-kichenguzi-cha-saba-cha-swawm-damu-ya-uzazi-na-hedhi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)