Abu Ja´far at-Twahaawiy (Rahimahu Allaah) amesema:
125 – Hatumsadikishi kuhani, mpiga ramli wala yeyote anayedai kitu kinachoenda kinyume na Qur-aan, Sunnah na maafikiano ya Ummah.
126 – Tunaona mkusanyiko ndio haki na usawa, na mgawanyiko ni upindaji na adhabu.
MAELEZO
Nayo ni yale aliyokuwemo Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na Maswahabah zake. Nao ni Kundi lililookoka, Ahl-ul-Hadiyth na wale wengine wote watakaofuata njia yao katika wafuasi wa madhehebu na wenigeneo.
- Muhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-´Aqiydah at-Twahaawiyyah – Sharh wa Ta´liyq, uk. 108
- Imechapishwa: 27/10/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)