Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Ikiwa Allaah kaweka wazi katika Kitabu Chake ya kwamba mwenye kuamini baadhi na akakufuru baadhi, basi ni kafiri wa kweli na kwamba anastahiki kile alichokitaja, hoja tata hii itakuwa imesambaratika. Na hiki ni kitu walichosema watu kutoka al-Ahsaaa´ katika barua yao waliotutumia.
MAELEZO
Sijui chochote kuhusiana na barua hii. Ni jambo ambalo mtu anatakiwa kulifanyia utafiti.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 83
- Imechapishwa: 25/11/2023
Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Ikiwa Allaah kaweka wazi katika Kitabu Chake ya kwamba mwenye kuamini baadhi na akakufuru baadhi, basi ni kafiri wa kweli na kwamba anastahiki kile alichokitaja, hoja tata hii itakuwa imesambaratika. Na hiki ni kitu walichosema watu kutoka al-Ahsaaa´ katika barua yao waliotutumia.
MAELEZO
Sijui chochote kuhusiana na barua hii. Ni jambo ambalo mtu anatakiwa kulifanyia utafiti.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 83
Imechapishwa: 25/11/2023
https://firqatunnajia.com/72-mlango-wa-12-anayeamini-kitu-katika-uislamu-na-kukanusha-kingine-ni-kafiri-iii/