Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah amesema:
Mfano wa maneno Yake:
إِلَيْهِ يَصْعَدُ الْكَلِمُ الطَّيِّبُ وَالْعَمَلُ الصَّالِحُ يَرْفَعُهُ
“Kwake pekee linapanda neno zuri na kitendo chema anakinyanyua.”[1]
MAELEZO
Hii ni miongoni mwa dalili kuhusu ujuu wa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Kitu kupanda Kwake maana yake ni kuwa kinanyanyuliwa Kwake, jambo ambalo linafahamisha kuwepo Kwake juu ya viumbe Wake.
[1] 35:10
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Ta´liyqaat at-Tawdhwiyhiyyah ´alaa Muqaddimat-il-Fatwaaa al-Hamawiyyah, uk. 109
- Imechapishwa: 19/08/2024
Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah amesema:
Mfano wa maneno Yake:
إِلَيْهِ يَصْعَدُ الْكَلِمُ الطَّيِّبُ وَالْعَمَلُ الصَّالِحُ يَرْفَعُهُ
“Kwake pekee linapanda neno zuri na kitendo chema anakinyanyua.”[1]
MAELEZO
Hii ni miongoni mwa dalili kuhusu ujuu wa Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala). Kitu kupanda Kwake maana yake ni kuwa kinanyanyuliwa Kwake, jambo ambalo linafahamisha kuwepo Kwake juu ya viumbe Wake.
[1] 35:10
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Ta´liyqaat at-Tawdhwiyhiyyah ´alaa Muqaddimat-il-Fatwaaa al-Hamawiyyah, uk. 109
Imechapishwa: 19/08/2024
https://firqatunnajia.com/70-allaah-anakinyanyua-kitendo-chake/