Aidha mtunzi wa kitabu (Rahimahu Allaah) amesema kuwa inatakiwa kuamini Kuonekana pasi na kuifanyia namna. Usiulize ni vipi Allaah ataonekana. Kama zilivyo sifa nyingine zote za Allaah (´Azza wa Jall) hatujui namna ya Kuonekana. Tunaamini Kuonekana, tunajua maana yake na tunaithibitisha, lakini pamoja na hivyo hatujui namna ilivyo. Allaah (Subhaanah) ndiye anajua zaidi namna itakavyokuwa.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Ta´liyqaat al-Mukhtaswarah ´alaal-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 79
- Imechapishwa: 17/01/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
